1Kile kilichokuwapo tangu mwanzo, tulichokisikia na kukiona kwa macho yetu, ambacho tumekitazama na mikono yetu ikakigusa, kuhusiana na neno la uzima,+
1Kile kilichokuwa tangu mwanzo,+ ambacho tumesikia,+ ambacho tumeona kwa macho yetu,+ ambacho tumetazama+ kwa uangalifu na mikono yetu ikakigusa,+ kuhusu neno la uzima,+