24 Zaidi ya hayo, mtu anayeshika amri zake hukaa katika muungano na yeye, na yeye katika muungano na mtu huyo.+ Na kupitia roho aliyotupatia, tunajua kwamba anakaa katika muungano pamoja nasi.+
24 Zaidi ya hayo, yeye ambaye hushika amri zake hukaa katika muungano na yeye, na yeye katika muungano na mtu huyo;+ na kwa jambo hili sisi tunajua kwamba yeye anakaa katika muungano na sisi,+ kwa sababu ya roho+ ambayo alitupa sisi.