20 “‘Hata hivyo, nina jambo hili dhidi yako, kwamba unamvumilia yule mwanamke Yezebeli,+ anayejiita nabii, naye anafundisha na kuwapotosha watumwa wangu wafanye uasherati*+ na kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu.
20 “ ‘Hata hivyo, nina hili dhidi yako, kwamba unamvumilia yule mwanamke Yezebeli,+ anayejiita mwenyewe nabii, naye anafundisha+ na kuwapotosha watumwa wangu+ wafanye uasherati+ na kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu.+