12 Nami nikaona alipofungua muhuri wa sita, na tetemeko kubwa la ardhi likatokea; na jua likawa jeusi kama gunia la manyoya,* na mwezi mzima ukawa kama damu,+
12 Nami nikaona alipofungua muhuri wa sita, na tetemeko kubwa la nchi likatokea; na jua likawa jeusi kama gunia+ la manyoya, na mwezi mzima ukawa kama damu,+