20 Lakini watu waliobaki ambao hawakuuawa kwa yale mapigo hawakutubu matendo ya mikono yao; hawakuacha kuabudu roho waovu na sanamu za dhahabu na fedha na shaba na mawe na miti, ambazo haziwezi kuona wala kusikia wala kutembea.+
20 Lakini wale wanadamu wengine ambao hawakuuawa kwa yale mapigo hawakutubu matendo ya mikono yao,+ ili kwamba wasiabudu roho waovu+ na sanamu za dhahabu na fedha+ na shaba na mawe na miti, ambazo haziwezi kuona wala kusikia wala kutembea;+