10 Nikakichukua kile kitabu kidogo cha kukunjwa kutoka mkononi mwa yule malaika nikakila,+ na kinywani mwangu kilikuwa kitamu kama asali,+ lakini baada ya kukila, tumbo langu likawa na uchungu.
10 Nami nikakichukua kile kitabu kidogo cha kukunjwa kutoka mkononi mwa yule malaika kisha nikakila,+ nacho kinywani mwangu kilikuwa kitamu kama asali;+ lakini nilipokuwa nimekila, tumbo langu likatiwa uchungu.