11 Baada ya zile siku tatu na nusu, roho ya uhai kutoka kwa Mungu ikaingia ndani yao,+ wakasimama kwa miguu yao, na woga mkubwa ukawaingia wale waliowaona.
11 Na baada ya zile siku tatu na nusu+ roho ya uhai kutoka kwa Mungu ikaingia ndani yao,+ nao wakasimama kwa miguu yao, na woga mkubwa ukawaingia wale waliokuwa wakiwatazama.