17 wakisema: “Tunakushukuru wewe, Yehova* Mungu, Mweza-Yote, yule aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+
17 wakisema: “Tunakushukuru wewe,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote,+ Yeye aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu+ na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+