16 Na zile pembe kumi+ ulizoona, na yule mnyama wa mwituni,+ hao watamchukia yule kahaba+ na kumfanya kuwa ukiwa na uchi, nao watakula nyama yake na kumteketeza kabisa kwa moto.+
16 Na zile pembe kumi+ ulizoona, na yule mnyama-mwitu,+ hawa watamchukia yule kahaba+ na kumfanya kuwa ukiwa na uchi, nao watakula sehemu zake zenye nyama na kumteketeza kabisa kwa moto.+