Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nikaona viti vya ufalme, na wale walioketi kwenye viti hivyo wakapewa mamlaka ya kuhukumu. Ndiyo, niliona nafsi* za wale waliouawa* kwa sababu ya ushahidi waliotoa kumhusu Yesu na kwa sababu ya kusema kumhusu Mungu, na wale ambao hawakumwabudu yule mnyama wa mwituni au sanamu yake na ambao hawakupokea ile alama kwenye paji la uso wao na kwenye mkono wao.+ Nao wakawa hai na kutawala wakiwa wafalme pamoja na Kristo+ kwa miaka 1,000.

  • Ufunuo 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nami nikaona viti vya ufalme,+ na kulikuwa na wale walioketi juu yake, nao wakapewa mamlaka ya kuhukumu.+ Ndiyo, niliona nafsi za wale waliouawa kwa shoka kwa ajili ya ushahidi waliotoa kumhusu Yesu na kwa ajili ya kusema juu ya Mungu, na wale ambao hawakumwabudu yule mnyama-mwitu+ wala sanamu+ yake na ambao hawakupokea ile alama juu ya paji la uso wao na juu ya mkono wao.+ Nao wakawa hai na kutawala wakiwa wafalme+ pamoja na Kristo kwa miaka elfu.

  • Ufunuo
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • 20:4 re 288-290

  • Ufunuo
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 20:4

      Upeo wa Ufunuo, kur. 288-290

      Mnara wa Mlinzi,

      8/15/1990, uku. 31

      9/1/1989, kur. 11-12

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki