2 ukiteremka katikati ya barabara yake kuu. Pande zote mbili za ule mto zilikuwa na miti ya uzima iliyozaa mazao 12 ya matunda, ikizaa matunda yake kila mwezi. Na majani ya ile miti yalikuwa ya kuponya mataifa.+
2 ukiteremka kupitia katikati ya njia yake pana. Na upande huu wa mto na upande ule kulikuwa na miti+ ya uzima yenye kuzaa mazao kumi na mawili ya matunda, ikitoa matunda yake kila mwezi.+ Na majani ya miti ile yalikuwa ya kuponya mataifa.+