6 Akaniambia: “Maneno haya ni ya uaminifu* na ya kweli;+ ndiyo, Yehova,* Mungu aliyewaongoza manabii,+ alimtuma malaika wake ili kuwaonyesha watumwa wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.
6 Naye akaniambia: “Maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli;+ ndiyo, Yehova Mungu wa maneno ya manabii yaliyoongozwa na roho+ alimtuma malaika wake ili kuwaonyesha watumwa wake mambo ambayo lazima yatendeke upesi.+