Mhubiri 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Uwe mwangalifu* wakati wowote unapoenda katika nyumba ya Mungu wa kweli;+ ni afadhali ukaribie ili kusikiliza+ badala ya kutoa dhabihu kama wanavyofanya wapumbavu,+ kwa maana hawajui kwamba jambo wanalofanya ni baya. Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:1 Mnara wa Mlinzi,9/15/1987, kur. 24-25
5 Uwe mwangalifu* wakati wowote unapoenda katika nyumba ya Mungu wa kweli;+ ni afadhali ukaribie ili kusikiliza+ badala ya kutoa dhabihu kama wanavyofanya wapumbavu,+ kwa maana hawajui kwamba jambo wanalofanya ni baya.