-
Luka 11:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Vivyo hivyo, ikiwa Shetani amegawanyika dhidi yake mwenyewe, ufalme wake utawezaje kusimama? Kwa maana mnasema ninafukuza roho waovu kupitia Beelzebuli.
-
-
Luka 11:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 Kwa hiyo ikiwa Shetani pia amegawanyika dhidi yake mwenyewe, ufalme wake utasimamaje? Kwa sababu nyinyi mwasema mimi hufukuza roho waovu kupitia Beelzebubi.
-