Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 14:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kisha akamwambia yule mtu aliyemwalika: “Unapoandaa mlo wa mchana au wa jioni, usiwaite rafiki zako, ndugu zako, watu wako wa ukoo, au jirani zako walio matajiri. Huenda wao pia wakakualika, na hivyo kukulipa ulichowafanyia.

  • Luka 14:12
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 12 Halafu akaendelea pia kumwambia mtu aliyemwalika: “Uandaapo mlo-mkuu au mlo wa jioni, usiite marafiki wako au ndugu zako au jamaa zako au majirani walio matajiri. Labda wakati fulani huenda nao pia wakakualika na hilo lingekuwa kukurudishia malipo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki