-
Luka 14:12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Halafu akaendelea pia kumwambia yule mtu aliyemwalika: “Unapoandaa mlo wa mchana au mlo wa jioni, usiwaite rafiki zako au ndugu zako au jamaa zako au jirani zako walio matajiri. Labda wakati fulani huenda nao pia wakakualika na hilo lingekuwa kukulipa.
-
-
Luka 14:12Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
12 Halafu akaendelea pia kumwambia mtu aliyemwalika: “Uandaapo mlo-mkuu au mlo wa jioni, usiite marafiki wako au ndugu zako au jamaa zako au majirani walio matajiri. Labda wakati fulani huenda nao pia wakakualika na hilo lingekuwa kukurudishia malipo.
-