-
Ufunuo 8:12Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
12 Na malaika wa nne akapuliza tarumbeta yake. Na theluthi moja ya jua ikapigwa na theluthi moja ya mwezi na theluthi moja ya nyota, ili theluthi moja ya hizo ipate kutiwa giza, na mchana usipate kuwa na mmuliko kwa theluthi moja ya huo, na usiku hivyohivyo.
-