Mambo ya Walawi 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Naye atachukua sehemu ya damu ya ng’ombe-dume+ na kuitapanya kwa kidole chake mbele ya kifuniko upande wa mashariki, naye atatapanya+ sehemu ya damu hiyo kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko.+ Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:14 Ufahamu,
14 “Naye atachukua sehemu ya damu ya ng’ombe-dume+ na kuitapanya kwa kidole chake mbele ya kifuniko upande wa mashariki, naye atatapanya+ sehemu ya damu hiyo kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko.+