15 Na itatukia kwamba mtu atakayechaguliwa akiwa na kile kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa atateketezwa kwa moto,+ yeye na vyote vilivyo vyake, kwa sababu amevunja agano+ la Yehova na kwa sababu amefanya upumbavu wenye kufedhehesha katika Israeli.”’”+