12 Kwa hiyo watu wa kituo hicho cha mbele wakamjibu Yonathani na mchukua-silaha wake na kusema: “Njooni hapa juu tulipo, na sisi tutawaonyesha jambo fulani!”+ Mara moja Yonathani akamwambia mchukua-silaha wake: “Nifuate, kwa kuwa hakika Yehova atawatia mkononi mwa Israeli.”+