1 Samweli 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Daudi akawatawanya watu wake kwa maneno hayo, naye hakuwaruhusu wamshambulie Sauli.+ Naye Sauli akainuka kutoka katika lile pango na kwenda zake.
7 Kwa hiyo Daudi akawatawanya watu wake kwa maneno hayo, naye hakuwaruhusu wamshambulie Sauli.+ Naye Sauli akainuka kutoka katika lile pango na kwenda zake.