2 Samweli 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwishowe Ahimaazi akaita na kumwambia mfalme: “Ni vema!” Ndipo akamwinamia mfalme kifudifudi. Naye akaendelea kusema: “Abarikiwe+ Yehova Mungu wako, ambaye amewatoa+ watu walionyoosha mkono wao juu ya bwana wangu mfalme!”
28 Mwishowe Ahimaazi akaita na kumwambia mfalme: “Ni vema!” Ndipo akamwinamia mfalme kifudifudi. Naye akaendelea kusema: “Abarikiwe+ Yehova Mungu wako, ambaye amewatoa+ watu walionyoosha mkono wao juu ya bwana wangu mfalme!”