1 Samweli 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Sasa Abishai akamwambia Daudi: “Mungu leo amemtia adui yako mkononi mwako.+ Tafadhali sasa, acha nimpigilie chini kwa mkuki mara moja tu, nami sitafanya hivyo mara mbili.” Zaburi 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wala hujanitia mkononi mwa adui.+Umeisimamisha miguu yangu mahali penye nafasi tele.+
8 Sasa Abishai akamwambia Daudi: “Mungu leo amemtia adui yako mkononi mwako.+ Tafadhali sasa, acha nimpigilie chini kwa mkuki mara moja tu, nami sitafanya hivyo mara mbili.”