2 Samweli 23:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na baada yake kulikuwa na Shamma mwana wa Agee, Mharari.+ Nao Wafilisti wakajikusanya kule Lehi, ambapo palikuwa na eneo la shamba lililojaa dengu;+ na watu wakakimbia kwa sababu ya Wafilisti.
11 Na baada yake kulikuwa na Shamma mwana wa Agee, Mharari.+ Nao Wafilisti wakajikusanya kule Lehi, ambapo palikuwa na eneo la shamba lililojaa dengu;+ na watu wakakimbia kwa sababu ya Wafilisti.