1 Wafalme 1:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye ametoa dhabihu za ng’ombe na vinono na kondoo kwa wingi sana, akawaalika wana wote wa mfalme+ na Abiathari+ kuhani na Yoabu+ mkuu wa jeshi; lakini hakumwalika Sulemani mtumishi wako.+
19 Naye ametoa dhabihu za ng’ombe na vinono na kondoo kwa wingi sana, akawaalika wana wote wa mfalme+ na Abiathari+ kuhani na Yoabu+ mkuu wa jeshi; lakini hakumwalika Sulemani mtumishi wako.+