1 Wafalme 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nao wakaendelea kukaa kambini siku saba, hawa wakiwa mbele ya wale.+ Na ikawa kwamba katika siku ya saba lile pambano la kivita likaanza; na wana wa Israeli wakawapiga na kuwaua Wasiria, watu mia moja elfu wanaoenda kwa miguu, katika siku moja.
29 Nao wakaendelea kukaa kambini siku saba, hawa wakiwa mbele ya wale.+ Na ikawa kwamba katika siku ya saba lile pambano la kivita likaanza; na wana wa Israeli wakawapiga na kuwaua Wasiria, watu mia moja elfu wanaoenda kwa miguu, katika siku moja.