2 Wafalme 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na Gehazi mwenyewe akaenda mbele yao, kisha akaitia fimbo juu ya uso wa yule mvulana, lakini hapakuwa na sauti yoyote wala majibu.+ Basi akarudi kumpokea na kumwambia: “Huyo mvulana hakuamka.”+
31 Na Gehazi mwenyewe akaenda mbele yao, kisha akaitia fimbo juu ya uso wa yule mvulana, lakini hapakuwa na sauti yoyote wala majibu.+ Basi akarudi kumpokea na kumwambia: “Huyo mvulana hakuamka.”+