1 Mambo ya Nyakati 29:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao wakaendelea kula na kunywa mbele za Yehova siku hiyo kwa shangwe kubwa;+ nao kwa mara ya pili wakamfanya Sulemani mwana wa Daudi kuwa mfalme,+ wakamtia mafuta kwa Yehova awe kiongozi+ na pia Sadoki+ awe kuhani.
22 Nao wakaendelea kula na kunywa mbele za Yehova siku hiyo kwa shangwe kubwa;+ nao kwa mara ya pili wakamfanya Sulemani mwana wa Daudi kuwa mfalme,+ wakamtia mafuta kwa Yehova awe kiongozi+ na pia Sadoki+ awe kuhani.