1 Mambo ya Nyakati 29:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwishowe akafa mwenye umri mwema wa uzeeni,+ ameshiba siku, utajiri+ na utukufu;+ na Sulemani mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+
28 Mwishowe akafa mwenye umri mwema wa uzeeni,+ ameshiba siku, utajiri+ na utukufu;+ na Sulemani mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+