2 Mambo ya Nyakati 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Na sasa ninyi mnafikiri juu ya kusimama imara kupigana na ufalme wa Yehova mkononi mwa wana wa Daudi,+ huku mkiwa umati mkubwa+ nanyi mna ndama wa dhahabu ambao Yeroboamu aliwatengenezea ninyi kuwa miungu.+
8 “Na sasa ninyi mnafikiri juu ya kusimama imara kupigana na ufalme wa Yehova mkononi mwa wana wa Daudi,+ huku mkiwa umati mkubwa+ nanyi mna ndama wa dhahabu ambao Yeroboamu aliwatengenezea ninyi kuwa miungu.+