-
2 Mambo ya Nyakati 22:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Hata hivyo, Yehoshabeathi+ binti ya mfalme akamchukua Yehoashi+ mwana wa Ahazia, akamwiba kutoka kati ya wana wa mfalme waliopaswa kuuawa, akamweka yeye na mlezi wake wa kike katika chumba cha ndani cha vitanda. Na Yehoshabeathi binti ya Mfalme Yehoramu,+ mke wa Yehoyada+ kuhani, (kwa maana alikuwa dada ya Ahazia,) akaendelea kumficha kwa sababu ya Athalia, naye hakumuua.+
-