2 Mambo ya Nyakati 29:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Sasa Hezekia mfalme na wakuu+ wakawaambia Walawi wamsifu Yehova kwa maneno ya Daudi+ na ya Asafu+ yule mwonaji. Kwa hiyo wakaanza kutoa sifa kwa kushangilia,+ wakaendelea kuinama na kusujudu.+
30 Sasa Hezekia mfalme na wakuu+ wakawaambia Walawi wamsifu Yehova kwa maneno ya Daudi+ na ya Asafu+ yule mwonaji. Kwa hiyo wakaanza kutoa sifa kwa kushangilia,+ wakaendelea kuinama na kusujudu.+