Nehemia 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Ezra akambariki Yehova+ Mungu wa kweli, Yeye aliye mkuu, halafu watu wote wakajibu, “Amina! Amina!”+ kwa kuinua juu mikono+ yao. Kisha wakainama+ na kumsujudia Yehova kifudifudi.+
6 Ndipo Ezra akambariki Yehova+ Mungu wa kweli, Yeye aliye mkuu, halafu watu wote wakajibu, “Amina! Amina!”+ kwa kuinua juu mikono+ yao. Kisha wakainama+ na kumsujudia Yehova kifudifudi.+