13 Kisha nikamweka Shelemia kuhani na Sadoki mwandikaji na Pedaya wa Walawi kusimamia maghala; na chini ya usimamizi wao kulikuwa na Hanani mwana wa Zakuri mwana wa Matania,+ kwa maana walionwa kuwa watu waaminifu;+ nao walikuwa na daraka la kuwagawia+ ndugu zao.