Zaburi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+
7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+