Zaburi 51:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Dhidi yako wewe, wewe peke yako, nimetenda dhambi,+Nami nimefanya lililo baya machoni pako,+Ili uwe mwadilifu unapoongea,+Ili usiwe na lawama unapohukumu.+ Zaburi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 51:4 Mnara wa Mlinzi,3/15/1993, uku. 11
4 Dhidi yako wewe, wewe peke yako, nimetenda dhambi,+Nami nimefanya lililo baya machoni pako,+Ili uwe mwadilifu unapoongea,+Ili usiwe na lawama unapohukumu.+