Isaya 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika siku hiyo kile ambacho Yehova anachipusha+ kitakuwa kwa ajili ya pambo na kwa ajili ya utukufu,+ na mazao ya nchi yatakuwa kitu cha kujivunia+ na kitu kizuri kwa ajili ya wale wa Israeli walioponyoka.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 4:2 ip-1 62, 64-67 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:2 Unabii wa Isaya 1, kur. 62-67
2 Katika siku hiyo kile ambacho Yehova anachipusha+ kitakuwa kwa ajili ya pambo na kwa ajili ya utukufu,+ na mazao ya nchi yatakuwa kitu cha kujivunia+ na kitu kizuri kwa ajili ya wale wa Israeli walioponyoka.+