Isaya 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana uovu umewaka kama moto;+ utateketeza vichaka vya miiba na magugu.+ Nao utashika moto katika vichaka vya msitu,+ navyo vitachukuliwa juu kama moshi unaopaa.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 9:18 ip-1 139-140 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:18 Unabii wa Isaya 1, kur. 139-140
18 Kwa maana uovu umewaka kama moto;+ utateketeza vichaka vya miiba na magugu.+ Nao utashika moto katika vichaka vya msitu,+ navyo vitachukuliwa juu kama moshi unaopaa.+