Isaya 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa maana wakati anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, katikati yake,+ watalitakasa jina langu,+ nao hakika watamtakasa Mtakatifu wa Yakobo,+ nao watamheshimu Mungu wa Israeli.+
23 kwa maana wakati anapowaona watoto wake, kazi ya mikono yangu, katikati yake,+ watalitakasa jina langu,+ nao hakika watamtakasa Mtakatifu wa Yakobo,+ nao watamheshimu Mungu wa Israeli.+