Isaya 36:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ili Hezekia asiwashawishi ninyi,+ akisema, ‘Yehova mwenyewe atatukomboa.’ Je, kila mmoja wa miungu ya mataifa ameikomboa nchi yake mwenyewe kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 36:18 ip-1 388 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 36:18 Unabii wa Isaya 1, uku. 388
18 ili Hezekia asiwashawishi ninyi,+ akisema, ‘Yehova mwenyewe atatukomboa.’ Je, kila mmoja wa miungu ya mataifa ameikomboa nchi yake mwenyewe kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?+