Isaya 61:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mimi, Yehova, napenda haki,+ nachukia unyang’anyi pamoja na ukosefu wa uadilifu.+ Nami nitatoa malipo yao katika ukweli,+ nitafanya kwao agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 61:8 w07 1/15 11; ip-2 332 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 61:8 Mnara wa Mlinzi,1/15/2007, uku. 11 Unabii wa Isaya II, uku. 332
8 Kwa maana mimi, Yehova, napenda haki,+ nachukia unyang’anyi pamoja na ukosefu wa uadilifu.+ Nami nitatoa malipo yao katika ukweli,+ nitafanya kwao agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo.+