Isaya 63:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami niliendelea kutazama, lakini hapakuwa na msaidizi; nikaanza kushangaa, lakini hapakuwa na yeyote aliyetegemeza.+ Kwa hiyo mkono wangu ukanipa wokovu,+ na ghadhabu+ yangu ndiyo iliyonitegemeza. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 63:5 w07 1/15 11; ip-2 353-354 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 63:5 Mnara wa Mlinzi,1/15/2007, uku. 11 Unabii wa Isaya II, kur. 353-354
5 Nami niliendelea kutazama, lakini hapakuwa na msaidizi; nikaanza kushangaa, lakini hapakuwa na yeyote aliyetegemeza.+ Kwa hiyo mkono wangu ukanipa wokovu,+ na ghadhabu+ yangu ndiyo iliyonitegemeza.