Isaya 65:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitawaandikia ninyi upanga,+ nanyi nyote mtainama ili kuuawa;+ kwa sababu niliita,+ lakini hamkuitika; nilisema, lakini hamkusikiliza;+ nanyi mliendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu,+ mlichagua jambo ambalo halikunipendeza.”+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 65:12 w06 6/1 27-28; ip-2 378-379 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 65:12 Mnara wa Mlinzi,6/1/2006, kur. 27-28 Unabii wa Isaya II, kur. 378-379
12 Nami nitawaandikia ninyi upanga,+ nanyi nyote mtainama ili kuuawa;+ kwa sababu niliita,+ lakini hamkuitika; nilisema, lakini hamkusikiliza;+ nanyi mliendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu,+ mlichagua jambo ambalo halikunipendeza.”+