20 “Hapatakuwa tena kutoka mahali hapo mtoto anayenyonya anayeishi siku chache,+ wala mzee ambaye hatimizi siku zake;+ kwa maana mtu atakufa akiwa mvulana tu, ingawa ana umri wa miaka mia moja; na kuhusu mtenda-dhambi, ingawa ana umri wa miaka mia moja yeye atalaaniwa.+