Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo Hazaeli akasema: “Kwa nini bwana wangu analia?” Naye akasema: “Kwa sababu ninajua vema mabaya+ utakayowatendea wana wa Israeli. Utateketeza kwa moto mahali pao penye ngome, na wanaume wao walio bora utawaua kwa upanga, na watoto wao utawavunja vipande-vipande,+ na wanawake wao wenye mimba utawapasua.”+

  • Maombolezo 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+

      Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+

      Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+

  • Hosea 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Samaria atahesabiwa kuwa na hatia,+ kwa maana kwa kweli yeye amemwasi Mungu wake.+ Wataanguka kwa upanga.+ Watoto wao wenyewe watavunjwa vipande-vipande,+ na wanawake wao wenye mimba watapasuliwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki