Yeremia 22:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nawe useme, ‘Lisikie neno la Yehova, Ee mfalme wa Yuda unayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ wewe pamoja na watumishi wako na watu wako, wale wanaoingia kupitia malango haya.+
2 Nawe useme, ‘Lisikie neno la Yehova, Ee mfalme wa Yuda unayeketi juu ya kiti cha ufalme cha Daudi,+ wewe pamoja na watumishi wako na watu wako, wale wanaoingia kupitia malango haya.+