Yeremia 50:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa maana ninyi mliendelea kushangilia,+ kwa maana mliendelea kufurahi mlipokuwa mkiupora urithi wangu.+ Kwa maana mliendelea kukanyaga kama ndama-jike katika majani mororo,+ nanyi mkaendelea kulia kama farasi-dume.+
11 “Kwa maana ninyi mliendelea kushangilia,+ kwa maana mliendelea kufurahi mlipokuwa mkiupora urithi wangu.+ Kwa maana mliendelea kukanyaga kama ndama-jike katika majani mororo,+ nanyi mkaendelea kulia kama farasi-dume.+