Methali 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Anayemdhihaki maskini anamletea shutuma Mtengenezaji+ wake. Anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa adhabu.+ Maombolezo 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Watu wamesikia jinsi ninavyougua kama mwanamke.+ Sina mfariji.+Adui zangu wote wamesikia juu ya msiba wangu.+ Wamefurahi, kwa sababu wewe mwenyewe umefanya hayo.+Hakika utaileta siku ambayo umetangaza,+ ili wawe kama mimi.+ Obadia 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao.
5 Anayemdhihaki maskini anamletea shutuma Mtengenezaji+ wake. Anayeshangilia msiba wa mwingine hatakosa adhabu.+
21 Watu wamesikia jinsi ninavyougua kama mwanamke.+ Sina mfariji.+Adui zangu wote wamesikia juu ya msiba wangu.+ Wamefurahi, kwa sababu wewe mwenyewe umefanya hayo.+Hakika utaileta siku ambayo umetangaza,+ ili wawe kama mimi.+
12 “Nawe hupaswi kutazama tukio katika siku ya ndugu yako,+ katika siku ya maafa yake; wala kushangilia juu ya wana wa Yuda katika siku ya kuangamia kwao;+ wala usiseme makuu katika siku ya taabu yao.