Maombolezo 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Moyo wao umemlilia Yehova,+ Ee ukuta wa binti Sayuni.+Yatiririshe machozi kama mto mchana na usiku.+Usife ganzi. Mboni ya jicho lako isikae kimya.
18 Moyo wao umemlilia Yehova,+ Ee ukuta wa binti Sayuni.+Yatiririshe machozi kama mto mchana na usiku.+Usife ganzi. Mboni ya jicho lako isikae kimya.