Danieli 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ na uso wake kama umeme,+ na macho yake kama mienge yenye kuwaka moto,+ na mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 10:6 dp 202-203 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:6 Unabii wa Danieli, kur. 202-203
6 Na mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ na uso wake kama umeme,+ na macho yake kama mienge yenye kuwaka moto,+ na mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati.